• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAZEE MBINGA YAFANA, WAZEE WAIPONGEZA SERIKALI KUWAKUMBUKA

Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2018

Tarehe 1 Oktoba kila mwaka ni siku ambayo ulimwengu unaadhimishi siku ya wazee, dhumuni kubwa la maadhisho haya ni kuwakumbuka wazee kwa yale walioyafanya kwa kujenga nchi,

kuona changamoto mbali mbali kama ukatili, afya dhidi ya wazee. Halmashauri ya Mbinga imeadhimisha sherehe hizo katika kata ya Matiri ambapo wananchi na wazee mbalimbali walikusanyika na kusherehekea maadhisho hayo.

Mgeni rasmi katika sherehe hizo:kaimu mkuu wa Wilaya Doc. Patric Banzi, aliisihi jamii kutowatelekeza wazee nakuona jukumu lakuwalea ni letu sote kwani wao pia walitulea na kutufikisha hapa." Lazima tuwaenzi wazee wetu kwani Taifa hili bila wao lisingefika hapa lilipo" alisema mgeni rasmi.Katika maadhimisho hayo ,mgeni rasmi aligawa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee wakata ya Matiri ambapo wazee 426 walipata vitambulisho vyao. 

Kauli mbiu ya siku ya wazee mwaka huu ilikuwa " WAZEE NI HAZINA YA TAIFA TUENZI JUHUDI ZA KUTETEA HAKI ZA USTAWI WAO" , Mzee Wiliam  Komba wa kijiji cha Kiyaha aliipongeza serikali kwakuwakumbuka na kuwaomba wananchi wote kuona kuwa niwajibu wao kuwajali wazee waliopo. 

Kwa picha za sherehe ingia katika ukurasa wa youtube kwenye kiungo hapa chinihttps://youtu.be/7Yf9q5r1CMI


Matangazo

  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • "TUSHIRIKIANE KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI" DED KASHUSHURA

    July 29, 2025
  • KARIBU MKOA WA RUVUMA

    July 29, 2025
  • WATAALAM OR-TAMISEMI WARIDHISHWA NA MIRADI YA MBINGA DC

    July 17, 2025
  • SHILINGI 1,544,770,750.00 ZATUMIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA AFYA

    July 15, 2025
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit