• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

FURSA ZA UWEKEZAJI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA

Posted on: March 13th, 2018

Afisa Kilimo Mr. Kisima, akipata maelezo toka kwa Wataalam wa Mbegu toka kampuni ya SEED.COM namna mbegu yao ilivyo bora

FURSA ZA UWEKEZAJI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ni moja kati Halmashauri sita za Mkoa wa Ruvuma, Halmashauri hii inapata wastani wa mvua inayofikia wastani wa 12mm.

kwa mwaka. Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inajumla ya wakazi 345407.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ina fursa nyingi za uwekezaji, fursa hizi zinatokana na Hali ya hewa, Uwingi wa watu,Madini na Utalii wa ndani.

MADINI

Halmashauri ya wilaya ya Mbinga imejaliwa kuwa na madini aina nyingi, baadhi ya madini haya ni dhahabu katika kata ya Lukarasi, Makaa ya mawe katika kata ya Ruanda

madini ya vito( gamestone) katika maeneo ya Amani makolo. Halmashauri inawakalibisha wawekezaji ili kuja kuwekeza katika fursa hii ya madini. Leseni za madini zinapatikana katika 

ofisi za madini mkoa zilizopo Songea

Picha ya makaa ya mawe yanayochimbwa katika eneo la Ngaka kata ya Ruanda- Mbinga

VIWANDA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inazalisha kwa wingi mazao ya chakula na biashara, Wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika sekta ya kilimo kwa kujenga viwanda ambavyo vitaongeza thamani ya 

mazao tunayozalisha na kuongeza ajira kwa vijana na watanzania kwa ujumla. Kuna viwanda vya kahawa ambavyo vinakoboa kahawa, lakini pia fursa ipo ya kujenga viwanda vingine vya kuchakata kahawa na mazao ya chakula

Picha ya kahawa toka kampuni ya MCCCO.LTD, Kahawa hii imekuwa bora na wananchi inahamisha wananchi kunywa kahawa hii ili kuongeza soko la ndani

KILIMO

Halmashauri ya Mbinga ipo katika nyanda za juu, ambapo mazao ya biashara kama kahawa na korosho yanastawi, wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika sekta ya kilimo.

 Mbinga ina jumla ya hekta 150,000 zinazofaa kwa kilimo cha mazao ya biashara. Kwa mwaka Halmashauri ya Mbinga inazalisha zaidi ya tani elfu 20,000 za mazao ya chakula ziada ya chakula

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Kassim Majaliwa akikagua shamba la muwekezaji AVIVI, muwekezaji huyu amekuwa akiandaa miche na kuigawa burena kuhamasisha uzalishaji zaidi wa kahawa katika Halmashauri ya Mbinga

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 18, 2022
  • MAELEKEZO KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SHULE ZA BWENI 2023 December 18, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MBINGA DC KUWA MFANO UTEKELEZAJI WA MRADI MKUBWA WA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI

    January 11, 2023
  • MBINGA DC YAKAMILISHA UJENZI WA MADARASA MAPYA 10

    January 06, 2023
  • BENKI YA NMB YAWEZESHA PIKIPIKI KWA MAAFISA USHIRIKA MBINGA NA NYASA

    December 30, 2022
  • KAMATI YA SIASA YATEMBELEA KITUO CHA AFYA MKUMBI

    December 29, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit