• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

"UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO NI JUKUMU LETU SOTE" RC IBUGE

Tarehe ya kuwekwa: November 25th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brig. Jen. Wilbert Ibuge ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuunga mkono utelelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kujitolea nguvukazi zao ili kuunga mkono jitihada za serikali na kuharakisha ukamilishaji wa miradi hiyo.

Akizungumza na wananchi leo Novemba 25 wakati wa hafla ya ufunguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Ruanda ambapo alialikwa kama Mgeni Rasmi RC Ibuge amesema anatambua na kupongeza jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na wananchi katika kuchangia na kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo na kwamba wao kama wananchi ni lazima wawe chachu na sehemu ya maendeleo yao wenyewe kwani serikali pekee haiwezi kufanya kila kitu

Ameongeza kuwa pamoja na serikali kuwa na mipango endelevu ya kuhakikisha miradi mbalimbali ya maendeleo inatekelezwa kwa kasi na ubora uliokusudiwa lakini ni ukweli usiopingika kuwa nguvu za wananchi zinapoingia na kujumuishwa husukuma na kuongeza kasi ya utekelezaji na ukamilishaji wa miradi hiyo.

Naye Bi. Fransis kwa niaba ya wananchi wa Kijiji cha Ruanda ameshukuru serikali na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kufanikisha ukamilishaji wa Zanahati hiyo ambayo ujenzi wake ulianza tangu mwaka 2013.

Amesema pamoja na kukamilika kwa ujenzi wa zahanati hiyo lakini wao kama wananchi wanatambua kuwa bado kuna changamoto ya ukosefu wa nyumba za watumishi na kwamba tayari wameandaa benki tofali za kutosha na kuahidi kuwa kujitolea nguvukazi zao kuanza kutekelezaji ujenzi wa nyumba hizo za watumishi huku wakiomba serikali kuwaunga mkono wa kuwapatia vifaa vya viwandani kama bati, saruji, misumari na rangi.

Pamoja na kufungua Zahanati ya Ruanda, Mkuu huyo wa Mkoa ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule za Sekondari za Ruanda, Mkako, Kiamili na Shule ya Sekondari ya Wasichana Mbinga ambapo mara baada ya kujionea hatua iliyofikiwa ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kusimamia vema miradi hiyo katika kusimamia miradi hiyo na kwamba ni matarajio yake miradi yote inayotekelezwa ndani ya Halmashauri hiyo itakamilika kwa ubora na haraka ndani ya muda uliokusudiwa.

Imeandikwa na

Salum Said, 

Afisa Habari, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

25 Novemba 2021

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit