Tarehe ya kuwekwa: April 22nd, 2023
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi mradi wa maji unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira RUWASA katika eneo la Kitai Kijiji cha Amanimakolo Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
Mara ba...
Tarehe ya kuwekwa: April 22nd, 2023
Mwenge wa Uhuru umepokelewa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Jumamosi Aprili 22, 2023 ukitokea Halmashauri ya Wilaya ya Songea.
Shamrashamra za mapokezi ya Mwenge huo zimefanyika eneo la Kitai na ku...
Tarehe ya kuwekwa: April 17th, 2023
Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Mkoani Ruvuma zimeanza rasmi leo Jumatatu tarehe 17 Aprili 2023 mara baada ya kuhitimisha ratiba yake Mkoani Lindi na zitahitimishwa Aprili 25 kwa kuukabidhi kwa uongozi w...