• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

Ziara ya kamati ya fedha, mipango na uchumi yataka miradi kukamilika kwa wakati

Tarehe ya kuwekwa: June 1st, 2019

Kamati ya fedha , mipango na uchumi imefanya ziara ya siku 2 (30/May/2019 - 31/May/2019)kukagua miradi inayotekelezwa ndani ya Halmashauri. Halmashauri inatekeleza miradi mingi ikiwepo inayotekelezwa 

na serikali na ile inayotekelezwa na Halmashauri. Halmashauri imepokea fedha kiasi cha milioni 400 za kujenga kituo cha afya mapera, zaidi ya milioni 160 za ujenzi wa bwalo na maktaba sekondari ya Ruanda na 

fedha za kukamilisha maboma na P4R. Wakikagua miradi hiyo ikiwepo kituo cha afya Mapera , Sekondari ya Langiro,sekondari Mkoha , sekondari ya Luli, sekondari ya Kiamili, Ujenzi wa choo shule ya msingi kitai,

Ujenzi wa choo bandari kavu.Ujenzi wa madarasa sekondari ya ndongosi na Ujenzi sekondari ya Ruanda( Maktaba na Bwalo).

Aidha mwenyekiti wa Halmashauri aliwataka wananchi kushirikiana na serikali ili kukamilisha miradi hasa inapohitajika wao kujitole "ndungu zangu wa Ndongosi, maendeleo yataletwa na nyinyi wenyewe,msisubiri mtu aje kuwaletea maendeleo" alisema mwenyekiti baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa madarasa ambao unasuasua . Wananchi wa Ndongosi wameahidi kuongeza kasi ikiwepo mtendaji kata kuamia katika kijiji cha Ndongosi ili kusimamia kwa karibu shughuli za ujenzi. Baadhi ya picha za miradi iliyotembelewa zimeambatanisha hapa chin


Kamati ikakagua mradi wa Maktaba Ruanda sekondari fundi atakiwa kuongeza kasi ya ujenzi wa maktaba hiyo ili jengo likamilike kwa wakati




Mkuu wa gereza Kitai SSP Shayo akitoa maelezo namna wanavyoshiriki ujenzi wa choo katika sm Kitai, ujenzi huu ulitokana na wanafanzi wa sm Kitai kutoa malalamiko mbele ya Rais wa Jamhuri y muungano wa Tanzania

Mhe. Pombe Joseph Magufuli nae kutoa milioni 5


Mganga Mkuu wa kituo cha afya Mapera Doc. Charles Sanga(mwenye koti jeupe) akitoa maelezo kuhusu kituo cha Mapera kwa mwenyekiti wa  Halmashauri Mhe. Ambrose Mtalazaki


Ujenzi wa bwalo: kamati ya mipango na fedha ikiongozana na timu ya wataalam wakikagua mradi wa Bwalo katika sekondari ya Ruanda


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - DEREVA MITAMBO II December 28, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI - MSAIDIZI WA HESABU DARAJA II December 24, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA December 18, 2020
  • TANGAZO LA UCHAGUZI 2019 September 10, 2019
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbinga ahamia na timu yake na Kuanza kazi katika Eneo lake la Utawala

    October 28, 2019
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamia kwa muda katika eneo la Kigonsera kabla la tarehe 30/10/2019

    October 22, 2019
  • Mbinga yaweka historia kwa kufanya mnada wa kahawa kwa mara ya kwanza

    September 12, 2019
  • Ziara ya kamati ya fedha, mipango na uchumi yataka miradi kukamilika kwa wakati

    June 01, 2019
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 Mbinga District Council. All rights reserved. Prepared by IT - Unit