• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

HISTORIA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ni miongoni mwa Halmashauri  8 za Mkoa wa Ruvuma.Halmashauri hii  inapatikana katika  Wilaya ya Mbinga, Makao yake Makuu yakipatikana eneo la Kiamili Kata ya  Kigonsera takribani umbali wa kilometa 32 kutoka Mbinga Mjini na Kilometa 67 kutoka Songea Mjini na Makao Makuu ya Mkoa wa Ruvuma. Halmashauri hii ni Halmashauri kongwe ambayo iweze kuanzisha Halmashauri  nyingine mbili ambazo ni  Halmashauri ya Nyasa pamoja na Halmashauri ya Mbinga Mji.

Halmashauri  ya  Wilaya ya Mbinga  ina eneo la ukubwa wa  kilometa za mraba 6,319.31, Tarafa 5, Kata 29, Vijiji 117.Kwa upande Kusini na Magharibi halmashauri imepakana na  Wilaya ya Nyasa, Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mjini na Wilaya ya Songea kwa upande wa Mashariki na Wilaya ya Ludewa (Mkoa wa Njombe) kwa upande wa Kaskazini.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ina jimbo moja la Uchaguzi (Jimbo la Mbinga Vijijini),kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi kwa mwaka 2022 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga  ina wakazi 285,582 kati yao wanaume ni 141,271 sawa na 49.5% na wanawake ni 144,311 sawa na 50.5%

Hali ya hewa ya Mbinga ni joto la wastani wa 25°C. Wakati wa kiangazi hali ya joto inakuwa nyuzi 23oC hadi 27oC na wakati wa baridi kiasi cha joto huwa kuanzia 160C hadi 200C. Mvua hunyesha kwa muda wa miezi sita kuanzia Novemba hadi April. Wastani wa mvua ni mm. 1,200 – mm 1,800 kwa mwaka, hata hivyo katika Milima ya Umatengo wastani wa mvua hufikia mm 2,000 kwa mwaka. Aidha, kipindi cha kiangazi ni kuanzia Mei hadi Oktoba.

Shughuli kubwa za wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya mbinga  kutokana na hali ya hewa iliyopo ni  kilimo,  ambapo wananchi wake kwa kiasi kikubwa  wanajishughulisha na kilimo cha mahindi, maharage pamoja na Kahawa.

.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit