• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

"TUSHIRIKIANE KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI" DED KASHUSHURA

Tarehe ya kuwekwa: July 29th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Kashushura ametoa rai kwa Watendaji wa Kata,Watendaji wa Vijiji na Wenyeviti wa Vijiji wa Kata zilizopokea fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi kushirikiana kwa pamoja wakati wa utekelezaji wa miradi ili kuleta umiliki na ubora wa miradi inayotekelezwa.


Rai hiyo imetolewa tarehe 29 Julai 2025 katika kikao kazi kilichohusisha Timu ya Menejimenti ya Halmashauri, Watendaji wa Kata, Watendaji wa Vijiji na Wenyeviti wa Vijiji Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga juu ya mapokezi ya fedha na utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.


“Hii miradi yetu sisi Serikali imeleta fedha kwa ajili ya utekelezaji naomba sana mkahamasishe wananchi kwenye maeneo yenu ili tushirikiane kwa pamoja katika utekelezaji wa miradi” Amesisitiza


Amefafanua kuwa ushiriki wa wananchi katika utekelezaji wa miradi unaleta umiliki wa miradi kwa wananchi wa eneo husika pamoja na kupunguza baadhi ya gharama za utekelezaji wa miradi.

Akichangia mada Mwenyekiti wa Kijiji cha Mahilo Asili Kata ya Mbuji Claudius Miringa amemshukuru Mkurugenzi kwa kuandaa na kuitisha kikao cha utekelezaji akisisitiza kuwa haijawahi kutokea tangu aingie madarakani,ameahidi kutoa ushirikiano na kuhamasisha wananchi kushiriki utekelezaji huo.

Kwa upande wake Mtendaji wa Kata ya Lukarasi Joseph Ndunguru amethibitisha kuwa kikao hicho ni chachu katika kuleta uelewa wa pamoja na ushirikishwaji wa wananchi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • "TUSHIRIKIANE KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI" DED KASHUSHURA

    July 29, 2025
  • KARIBU MKOA WA RUVUMA

    July 29, 2025
  • WATAALAM OR-TAMISEMI WARIDHISHWA NA MIRADI YA MBINGA DC

    July 17, 2025
  • SHILINGI 1,544,770,750.00 ZATUMIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA AFYA

    July 15, 2025
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit