• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamia kwa muda katika eneo la Kigonsera kabla la tarehe 30/10/2019

Tarehe ya kuwekwa: October 22nd, 2019

Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuri akiwa ziarani Mkoani Sumbawanga aliagiza kila Halmashauri ambayo inafanya kazi nje ya eneo lake la utawala ihamie kwenye eneo lake la utawala kabla ya tarehe 07/11/2019.

Mheshimiwa Mkuuu wa Mkoa wa Ruvuma Bi. Christina Mndeme aliitisha baraza la dharula lililofanyika tarehe 22/10/2019 nakuagiza  Halmashauri ihamie kwa muda katika eneo la Kigonsera kabla ya tarehe 30/10/2019

Aidha maamuzi haya yalikuja baada ya mapendekezo ya baraza la madiwani kutaka Halmashauri kuhamia moja kwa moja katika kata ya Mkumbi, Mkuu wa mkoa alipofanya ziara na kutembelea miji ya Mkako ambapo kijiji kilitoa ekari 69, kata ya  Kigonsera katika eneo la Kiamili kuna ofisi ya Serikali na eneo lililotolewa na Kijiji la ekari 100. Eneo la mwisho kutembelea lilikuwa ni kata ya Mkumbi ambapo kijiji cha Mkumbi kilitoa ekari 15 na kijiji cha Longa kilitoa ekari 30. Baada ya kupitia maeneo hayo na kuangalia muda wa kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais, aliamuru ofisi za muda zihamie Kigonsera wakati wataalam na Madiwani wakitafuta eneo la kujenga ofisi za kudumu.

“Kwa sasa ofisi za muda za Halmashauri zihamie Kigonsera kwa kuwa kuna Ofisi za serikali na nyumba ya Mkurugenzi” alisema, Pia akatoa rai kuwa baraza la madiwani linajukumu la kutafuta eneo la kujenga ofisi ya kudumu, eneo la kujenga ofisi za kudumu litatakiwa lisiwe chanzo cha maji, liangalie miundombinu kama umeme, mkongo na eneo huru ambalo sio la fidia, alisisitiza mkuu wa mkoa.

Pia Mheshimiwa mkuu wa Mkoa ameahidi kutoa magari ili kuhakikisha kabla ya tarehe 30/10/2019 tayari ofisi zianze kutoa huduma katika eneo la utawala ambalo ni Kigonsera katika majengo ya shule ya wasichana ya Mbinga

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit