• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

BARAZA LA MADIWANI LAIDHINISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Tarehe ya kuwekwa: February 1st, 2024

Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga limeridhia na kupitisha  rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025 wenye makadirio ya mapato na matumizi ya Tshs. 43,884,045,000.

Rasimu hiyo imewasilishwa katika Kikao maalum cha baraza kupitia randama ya bajeti ya matumizi ya kawaida na mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika  tarehe 1 Februari 2024 katika ukumbi wa shule ya Sekondari Kigonsera.

Mchanganuo wa makadirio hayo  ni  ukusanyaji  na matumizi ya  mapato ya ndani Tshs. 8,400,000,000. ambapo mapato  halisi ni Tshs. 6,800,000,000 na mapato fungwa ni Tshs. 1,600,000,000.

Mishahara ya watumishi Tshs. 23, 249,317,000, matumizi mengineyo Tshs. 1,163,116,000 pamoja na  Tshs 11,071,612,000 kwa ajili ya miradi ya  maendeleo  fedha kutoka Serikali kuu.

Mikakati iliyokwekwa na Halmashauri katika ukusanyaji wa mapato kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ni pamoja na  kuongezwa kwa  idadi ya POS  za kukusanyia mapato, kukarabati Soko la Ruanda na Jengo la uwekezaji lililopo Mbinga Mjini ili kuchochea biashara zitakazopelekea kuongezeka kwa mapato.

Pia  ukarabati  wa stendi ya mabasi ya Ruanda na Maguu, ujenzi wa vibanda vya biashara, ukarabati wa kituo cha kukusanya  mapato Kitai pamoja na  ujenzi wa Shule ya msingi mchepuo wa kingereza( English Medium).

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mhe. Deusderius Haule amewataka wataalamu na madaiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kushirikiana na  kuimarisha usimamizi  katika  uukusanya mapato  ili kuweza kufikia malengo ya Halmashauri.


imeandikwa na Silvia Ernest 

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini 

1 Februari 2024

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit