• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

BARAZA LA WAFANYAKAZI MBINGA DC LARIDHIA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

Tarehe ya kuwekwa: February 17th, 2023

Wawakilishi wa jumuiya za wafanyakazi kupitia Kikao cha Baraza la Wafanyakazi Wilaya ya Mbinga limeridhia na kupitisha mapendekezo ya mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kipindi cha mwaka ujao wa fedha 2023/2024.

Kikao hicho chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Juma Haji Juma kimefanyika Kiamili Alhamisi tarehe 16 Aprili 2023 na kuhudhuriwa na viongozi na wawakilishi kutoka vyama vya wafanyakazi vya TALGWU, TUGHE na CWT, pamoja na Menejimenti ya Halmashauri hiyo.

Akiwasilisha taarifa ya mapendekezo ya mpango na bajeti ya Halmashauri kwa mwaka ujao wa fedha Kaimu Afisa Mipango wa Halmashauri Hamidu Lipweche amesema katika kipindi cha mwaka 2023/2024 Halmashauri hiyo inakisia kukusanya/kupokea na kutumia jumla shilingi Bilioni 42 kupitia vyanzo vyote vya mapato ikiwa ni pamoja na ruzuku ya serikali kuu.

Aidha amebainisha kuwa mwaka ujao wa fedha Halamashauri ya Wilaya ya Mbinga inatarajia kukusanya mapato ya ndani (own sources revenue collection) kiasi cha shilingi Bilioni 6.72 ikiwa ni ongezeko la Bilioni 2.13 sawa na 46.4% kulinganisha na bajeti ya mwaka huu 2022/2023 yenye makisio ya shilingi Bilioni 4.59

Kabla ya kufunga kikao wajumbe waliridhia kwa kauli moja kupitisha mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa mwaka 2023/2024 ambapo Mwenyekiti wa kikao aliwashukuru wajumbe kwa mjadala mzuri na wenye tija na hivyo ni imani ya kila mmoja kwamba maoni na michango yao itawezesha kupatikana kwa mpango unaotekelezeka.

Imeandikwa na Salum Said 

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, 

Tarehe 16 Februari, 2023

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit