• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

CCM YARIDHISHWA UTEKEKEZAJI WA ILANI MBINGA DC

Tarehe ya kuwekwa: December 27th, 2022

Kamati ya Siasa ya Wilaya, chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbinga Ndg. Joseph Mdaka imeendelea na ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwenye maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Leo Jumanne Disemba 27 Kamati hiyo imetembelea Kata ya Kigonsera na kukagua maendeleo ya mradi wa jengo jipya la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na Makao Makuu ya Halmashauri eneo la Kiamili, pamoja na mradi wa Madarasa Mawili yaliyojengwa na kukamilika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Mbinga.

Katika ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoanza Alhamisi Disemba 22 wajumbe wa Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake imeoneshwa kuridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi unaofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kupitia utekelezaji za miradi mbalimbali ya maendeleo.

Wiki iliyopita Kamati ya Siasa Wilaya ya Mbinga ilianza ziara yake kwa kutembelea mradi wa Shule Maalum ya Msingi ya Bweni kwa watoto wenye ulemavu inayojengwa Kata ya Maguu na leo imekagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa Shule ya Sekondari ya Wasichana Mbinga na mradi wa Ofisi mpya za Mkurugenzi na Makao Makuu ya Halmashauri eneo la Kiamili, Kata ya Kigonsera.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 18, 2022
  • MAELEKEZO KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SHULE ZA BWENI 2023 December 18, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MBINGA DC KUWA MFANO UTEKELEZAJI WA MRADI MKUBWA WA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI

    January 11, 2023
  • MBINGA DC YAKAMILISHA UJENZI WA MADARASA MAPYA 10

    January 06, 2023
  • BENKI YA NMB YAWEZESHA PIKIPIKI KWA MAAFISA USHIRIKA MBINGA NA NYASA

    December 30, 2022
  • KAMATI YA SIASA YATEMBELEA KITUO CHA AFYA MKUMBI

    December 29, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit