• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MBINGA D.C YAANZA RASMI KUTOA CHANJO YA HOMA YA INI

Tarehe ya kuwekwa: May 6th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imeanza rasmi kutoa huduma ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini leo Mei 6 na viongozi na watumishi wa Halmashauri hiyo wamepata fursa ya kuhudumiwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Bw. Juma Mnwele ameongoza zoezi hilo kwa kupata huduma ya vipimo na chanjo sambamba na viongozi wengine na watumishi wa Halmashauri hiyo, zoezi ambalo limefanyika kwenye Ofisi za Halmashauri zilizopo Kiamili.

Mkurugenzi Mnwele pia ametoa rai kwa watumishi wote na wananchi kwa ujumla kuchangamkia fursa hiyo adhimu ya kupata chanjo ya Homa ya Ini na kuongeza kusema serikali imefanya jitihada kubwa kuhakikisha huduma hiyo inatolewa tena kwa gharama nafuu ikilinganishwa na gharama halisi na ambazo zimekua zikitozwa kwenye maeneo mbalimba ambayo yamekua yakitoa huduma hiyo.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Louis Chomboko ameihakikishia jamii na kuondoa hofu juu ya usalama wa chanjo hiyo ambayo inachukua muda mfupi sana kutolewa na kufafanua zaidi kuwa huduma hiyo inatolewa kwa watu wote wenye umri wa kuanzia miaka 19 na kuendelea.

Huduma ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini imepangwa kutolewa kwenye miji midogo yote ya Kuandaa, Mkumbi, Maguu, Kigonsera na Matiri ambapo uzinduzi rasmi utafanyika Matiri, Jumatatu Mei 10 huku Mkuu wa Wilaya ya Mbinga akitarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye uzinduzi huo.

Kesho Ijumaa Mei 7 huduma hiyo ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini itaendelea kutolewa kwenye Mji Mdogo wa Kigonsera ambapo pia itatolewa wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa Parokia ya Kigonsera na Wah. Madiwani, watumishi na wananchi watakua na fursa ya kupata huduma hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit