• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

DC MPYA MBINGA AKABIDHIWA RASMI OFISI

Tarehe ya kuwekwa: June 29th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mhe. Aziza Mangosongo amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekua Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Cosmas Nshenye katika hafla iliyofanyika leo Juni 29, 2021

Hafla hiyo ya makabidhiano ya ofisi imefanyika kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbinga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zote mbili za Mji na Wilaya ya Mbinga, Wakuu wa Taasisi, Idara na Vitengo, viongozi wa dini, wawakilishi kutoka sekta binafsi na watumishi wengine.

Akizungumza kwenye hafla hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mhe. Aziza Mangosongo amesema ni furaha kubwa kwake kujumuika na wanambinga na anategemea kupata ushirikiano na mshikamano kutoka kwa viongozi na wananchi ili kusongesha mbele gurudumu la maendeleo ya Wilaya ya Mbinga na Taifa kwa ujumla.

Naye Mhe. Nshenye ametoa shukrani zake kwa viongozi na wananchi wa wilaya ya Mbinga kwa ushirikiano mkubwa alioupata kwa kipindi chote alichofanya kazi na kuwahudumia wananchi wa Mbinga

Makabidhiano haya ni kufuatia mabadiliko ya uongozi yaliyofanywa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kufanya teuzi za Wakuu wa Wilaya ambapo Mhe. Nshenye ambaye hapo kabla alikua Mkuu wa Wilaya ya Mbinga alihamishiwa Mkoani Songwe na kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi.

Pia Mhe. Suluhu alimteua Mhe. Aziza ambaye hapo awali alikua Mkuu wa Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara na kumhamishia Wilayani Mbinga, Mkoa wa Ruvuma kuchukua nafasi ya Cosmas Nshenye.

Imeandikwa na

Salum Said,

Afisa Habari, Mbinga D.C

Matangazo

  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • "TUSHIRIKIANE KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI" DED KASHUSHURA

    July 29, 2025
  • KARIBU MKOA WA RUVUMA

    July 29, 2025
  • WATAALAM OR-TAMISEMI WARIDHISHWA NA MIRADI YA MBINGA DC

    July 17, 2025
  • SHILINGI 1,544,770,750.00 ZATUMIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA AFYA

    July 15, 2025
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit