• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

DED MBINGA AUNDA KAMATI MAALUM KUFUATILIA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MAKAA YA MAWE

Tarehe ya kuwekwa: May 13th, 2021

Kamati Maalum ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imeanza zoezi la kufanya ufuatiliaji wa shughuli zinazofanywa na makampuni ya uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe yaliyopo Wilayani Mbinga.

Kamati hiyo ambayo imeundwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inashughulikia masuala mbalimbali ikiwemo mwenendo mzima wa shughuli za uchimbaji na uchakataji wa makaa ya mawe, uzingatiaji wa masuala ya kimazingira, fidia ya ardhi na migogoro baina ya kampuni hizo na jamii inayozunguka maeneo ya migodi.


Timu hiyo imeanza kutekeleza majukumu yake Jumatano Mei 11 kwa kutembelea bandari kavu zote zilizopo Amani Makolo, Mkeso na Paradiso maeneo ambavyo pia ni vituo maalum vya uchakataji na mauzo ya makaa ya mawe vinavyoendeshwa na Kampuni za Mil Coal Ltd, Tan Coal energy Ltd, na Ruvuma Coal Ltd.

Kwa upande mwingine timu hiyo imetembelea na kukagua shughuli za uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe kwenye mgodi unaoendeshwa na Kampuni ya Ruvuma Coal uliopo kijiji cha Paradiso na Sara.

Zoezi la ufuatiliaji wa shughuli za uchimbaji wa makaa ya mawe litaendelea tena Jumatatu Mei 17 kwa Kamati hiyo kutembelea Kijiji cha Sara ambapo watakutana na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sara na Paradiso pamoja na wawakilishi wa Kampuni ya Ruvuma Coal ajenda kuu ikiwa ni suala la fidia kwa maeneo ya wananchi ambayo yapo ndani ya eneo la leseni mbili za uchimbaji wa makaa ya mawe zinazomilikiwa na Kampuni ya Ruvuma Coal.

Timu hii maalum ya ufuatiliaji wa shughuli za uchimbaji wa makaa ya mawe inaundwa na Mwenyeki wa Kamati, Bw. Paschal Zacharia (Afisa Maendeleo ya Jamii), Bw. Salum Said (Kaimu Afisa Mazingira) ambaye ni Katibu na wajumbe ambao ni Bi. Clementina Komba (Afisa Ardhi), Mponjoli Mwakalonge (Mwanasheria) na Waziri Geho ambaye pia ni Afisa Mtendaji Kata ya Ruanda.

Imeandikwa na 

Salum Said,

Afisa Habari, Mbinga D.C

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit