• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

HALOTEL, MBINGA DC KUIMARISHA MAHUSIANO, USHIRIKIANO.

Tarehe ya kuwekwa: December 27th, 2022

Kampuni ya Halotel Tanzania imeushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kuichagua na kuifanya Kampuni hiyo inayotoa huduma ya mawasiliano nchini kuwa miongoni mwa Kampuni kuu zinazotoa huduma za mawasiliano kwenye maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri hiyo.

Hayo yamejiri leo Jumanne Disemba 27, 2022 wakati ujumbe kutoka Kampuni ya Halotel Mkoa wa Ruvuma ukiwakilishwa na Afisa Biashara wa Kampuni ya Halotel Keneth Wello na Bw. Saulo Essau Mponda ambaye ni Afisa Biashara Kitengo cha Halopesa Tawi la Ruvuma na kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halotel Mkoa wa Ruvuma ulipokabidhi zawadi na salamu za Kampuni kwa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga katika tukio lililofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji zilizopo Kiamili na kupokelewa na Mweka Hazina wa Halmashauri Bw. samwel Marwa, akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Juma Haji Juma.

Akiwasilisha shukrani za Kampuni mara baada ya kukabidhi zawadi na salamu za Krismasi na Mwaka Mpya wa 2023 kwa Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Wello kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halotel Mkoa wa Ruvuma amesema wao kama Halotel, na moja ya Kampuni kubwa zinazotoa huduma za Mawasiliano Wilayani Mbinga wanatambua na kuthamini mchango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kama mdau wao muhimu katika kuchochea ukuaji wa Kampuni na sekta nzima ya Mawasiliano nchini kwa kipindi chote cha Mwaka 2022.

Naye Bw. Samwel Marwa, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ameishukuru Kampuni ya Halotel kwa hatua hiyo muhimu katika kuimarisha mahusiano na kuahidi kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya Halmashauri na Kampuni hiyo ili kuhakikisha uendelevu katika upatikanaji wa huduma bora na za uhakika za mawasiliano hususani huduma ya internet kwenye eneo la Kiamili zilipo Ofisi na Makao Makuu ya Halmashauri, kwenye taasisi kama shule na vituo vya kutolea huduma za afya, vituo vya kukusanyia mapato na maeneo mengine ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Na Salum Said, Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Mbinga DC.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 18, 2022
  • MAELEKEZO KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SHULE ZA BWENI 2023 December 18, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MBINGA DC KUWA MFANO UTEKELEZAJI WA MRADI MKUBWA WA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI

    January 11, 2023
  • MBINGA DC YAKAMILISHA UJENZI WA MADARASA MAPYA 10

    January 06, 2023
  • BENKI YA NMB YAWEZESHA PIKIPIKI KWA MAAFISA USHIRIKA MBINGA NA NYASA

    December 30, 2022
  • KAMATI YA SIASA YATEMBELEA KITUO CHA AFYA MKUMBI

    December 29, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit