• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

HALOTEL, MBINGA DC KUIMARISHA MAHUSIANO, USHIRIKIANO.

Tarehe ya kuwekwa: December 27th, 2022

Kampuni ya Halotel Tanzania imeushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kuichagua na kuifanya Kampuni hiyo inayotoa huduma ya mawasiliano nchini kuwa miongoni mwa Kampuni kuu zinazotoa huduma za mawasiliano kwenye maeneo mbalimbali ndani ya Halmashauri hiyo.

Hayo yamejiri leo Jumanne Disemba 27, 2022 wakati ujumbe kutoka Kampuni ya Halotel Mkoa wa Ruvuma ukiwakilishwa na Afisa Biashara wa Kampuni ya Halotel Keneth Wello na Bw. Saulo Essau Mponda ambaye ni Afisa Biashara Kitengo cha Halopesa Tawi la Ruvuma na kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halotel Mkoa wa Ruvuma ulipokabidhi zawadi na salamu za Kampuni kwa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga katika tukio lililofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji zilizopo Kiamili na kupokelewa na Mweka Hazina wa Halmashauri Bw. samwel Marwa, akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Juma Haji Juma.

Akiwasilisha shukrani za Kampuni mara baada ya kukabidhi zawadi na salamu za Krismasi na Mwaka Mpya wa 2023 kwa Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Wello kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halotel Mkoa wa Ruvuma amesema wao kama Halotel, na moja ya Kampuni kubwa zinazotoa huduma za Mawasiliano Wilayani Mbinga wanatambua na kuthamini mchango wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kama mdau wao muhimu katika kuchochea ukuaji wa Kampuni na sekta nzima ya Mawasiliano nchini kwa kipindi chote cha Mwaka 2022.

Naye Bw. Samwel Marwa, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ameishukuru Kampuni ya Halotel kwa hatua hiyo muhimu katika kuimarisha mahusiano na kuahidi kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya Halmashauri na Kampuni hiyo ili kuhakikisha uendelevu katika upatikanaji wa huduma bora na za uhakika za mawasiliano hususani huduma ya internet kwenye eneo la Kiamili zilipo Ofisi na Makao Makuu ya Halmashauri, kwenye taasisi kama shule na vituo vya kutolea huduma za afya, vituo vya kukusanyia mapato na maeneo mengine ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Na Salum Said, Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Mbinga DC.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit