• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UBORA WA MIRADI MBINGA DC

Tarehe ya kuwekwa: March 18th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imepongezwa kwa usimamizi mzuri wa miradi mara baada ya Kamati ya Siasa Wilaya ya Mbinga kutembelea na kufanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Halmashauri hiyo Ijumaa Machi 18, 2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilayani Mbinga Beda Hyera, kwa niaba ya wajumbe wa Kamati wa Siasa amesema wao kama chama wameridhishwa sana na ubora wa miradi yote iliyotembelewa na Kamati hiyo na kwamba wanapongeza uongozi wa Halmashauri kwa kusimamia vema miradi hiyo.

Naye Bi. Kurusumu Mhagama ambaye ni Mjumbe wa UWT Mkoa wa Ruvuma amewashukuru na kuwapongeza wananchi wote wanaoendelea kuunga mkono jitihada za serikali kwa kujitolea nguvukazi katika ujenzi wa miundombinu kwenye maeneo yao na kutoa rai kwa serikali kuhakikisha shughuli ndogo zilizosalia hususani kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Mkumbi zinakamilishwa haraka ili wananchi waanze kupata huduma.

Jumla ya miradi minne imetembelewa na wajumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Mbinga ambayo ni Ujenzi wa Kituo cha Afya Mkumbi, Vyumba vitatu vya madarasa Shule ya Sekondari Mkumbi yaliyojengwa kupitia mradi wa TCRP (UVIKO-19), ujenzi wa Hospitali ya Wilaya eneo la Kiamili Kata ya Kigonsera na ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya mfano inayojengwa kupitia program ya SEQUIP kata ya Amanimakolo.

Ziara hii ya wajumbe wa Kamati ya Siasa imefanyika ikiwa ni ukaguzi wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ngazi ya Wilaya kwa kipindi cha 2020/2025.

Na Salum Said, Mbinga

Tarehe 18 Machi, 2022

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 05, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • VIJANA FASTAFASTA WANUFAIKA MKOPO WA BAJAJI

    April 25, 2022
  • MIRADI 9 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2022

    April 10, 2022
  • KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UBORA WA MIRADI MBINGA DC

    March 18, 2022
  • MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 08, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit