• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

KANAL LABAN AWATAKA WANANCHI WA KIPAPA KUSHIRIKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Tarehe ya kuwekwa: July 4th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Kanal Laban Thomas  amewataka wananchi wa Kata ya  Kipapa kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili  kuimarisha ulinzi wa vifaa vya ujenzi pamoja na kuhakikisha  miradi  hiyo inatekelezwa katika ubora na viwango  vinavyohitajika.


"Ni wajibu  wa kila Mtanzania kushirikiana  na Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo  kuna wengine wanaiba  vifaa vya ujenzi  tunajikomoa sisi wenyewe na sio watu wengine  tusimamie miradi kwa pamoja tusiwaachie wataalam pekee yao" Amebainisha  Kanal Laban


Mhe. Mkuu wa Mkoa ametoa wito huo  4 Julai 2023  katika ziara yake ya kukagua utekelezaji  wa  ujenzi wa Shule  mpya ya Msingi inayojengwa katika Kata ya Kipapa iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.


 Amekagua ujenzi wa  vyumba vya madarasa 9 , ujenzi wa matundu ya vyoo 18  pamoja na  ujenzi wa jengo la Utawala, ujenzi huo  unaotekelezwa  kupitia  Mradi wa BOOST.


Pamoja na rai hiyo  Mhe. Mkuu wa Mkoa amemshauri Mkurugenzi  wa Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga kutowapa kazi ya  ujenzi  mafundi wenyeji  ambao  sio waminifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo akisisitiza kuwa  lengo la Serikali ni kuona  fedha inayotolewa inaendana na utekelezaji wa miradi.


" Mkurugenzi  usimpe  mradi  fundi ambae  hatekelezi vizuri miradi,  Serikali ilileta  utaratibu  mzuri sana wa kujenga kwa kutumia  mafundi wenyeji  tulionao katika maeneo yetu  lakini kuna baadhi ya mafundi hao sio waaminifu wanaharibu miradi


Hatuwezi kukubali kwasababu tu ni  kijana wa maeneo yetu  basi  atuharibie miradi yetu  miradi inaharibiwa kwa sababu tu tunahafamiana" Amesisitiza Kanal Laban


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo  amemhakikishia  Mhe. Mkuu wa Mkoa  kuwa maagizo yote yaliyotolewa yatafanyiwa kazi ili  utekelezaji wa ujenzi  huo  ukamilike kwa wakati na katika  ubora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit