• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MAAGIZO YA MKURUGENZI KASHUSHURA KWA WATENDAJI WA VIJIJI

Tarehe ya kuwekwa: July 4th, 2024

Na Silvia Ernest

Mkurugenzi Mtendaji  Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga  Joseph Kashushura  amewataka watendaji wa Vijiji  kuhakikisha fedha zote zinazokusanywa katika maeneo yao  zinapelekwa benki  ili kuondoa mianya ya   upotevu wa fedha  unaosababishwa na matumizi ya fedha mbichi.

Mkurugenzi  Kashushura  ametoa  agizo hilo katika kikao chake na Watendaji wa Vijiji kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano  uliopo katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga   tarehe 4  Julai 2024.

“Fedha zote zinazokusanywa zipelekwe benki  ili zitumike kwa utaratibu sio unakusanya tu fedha unaanza kutumia bila kufuata utaratibu  hii haipo sawa na yeyote atakae bainika atachukuliwa hatua ” Amesisitiza  Mkurugenzi Kashushura

Sambamba na hilo amewataka kusimamia ukusanyaji wa mapato  pamoja na kutambua  vyanzo  vyote vya mapato vilivyopo katika maeneo yao  ili fedha hiyo itumike katika  ktekeleza  miradi ya maendeleo.

Aidha amewataka watendaji hao  kuwa na utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi  na kusisitiza kuwa  hataki  kusikia wananchi  wanapoteza muda wao  kuja Makao makuu ya Halmashauri  kuwasilisha kero zao ambazo zingetatuliwa  katika ngazi ya Kijiji.

 Vilevile Mkurugenzi Kashushura  amewataka viongozi hao kuhakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo katika maeneo yao ikiwa ni moja ya  majukumu yao katika kuhakikisha  utekelezaji unaofanywa na Serikali unaleta tija kwa wananchi.

Pia ameendelea kuwasisitiza  viongozi hao kusoma  taarifa za mapato na matumizi ya Kijiji  ili kuleta uwazi na uelewa kwa wananchi wa  makusanyo na matumizi wa  fedha katika kutekeleza shughuli  za Serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit