• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MBINGA D.C - KINARA UTEKELEZAJI MKATABA WA LISHE MKOA WA RUVUMA

Tarehe ya kuwekwa: March 3rd, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imeongoza kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha nusu mwaka kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2021/2022 mara baada ya kufanyika kwa tathimini ya utekelezaji wa Mkataba huo ngazi ya Mkoa Halmashauri hiyo imeibuka kinara kwa kushika nafasi ya kwanza kati ya Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma

Akizungumza wakati wa Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha Robo ya Pili kilichofanyika Machi 3 kwenye Ukumbi Shule ya Sekondari Kiamili, Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo amesema Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imefanya vizuri kwa kutelekeza kwa ukamilifu afua zote za lishe kwa mujibu wa mkataba kwa vipindi viwili mfululizo vya utekelezaji wa Mkataba huo kwa mwaka huu wa fedha kuanzia Julai hadi Desemba 2021/2022

Mhe. Mangosongo amewapongeza watumishi na watendaji wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga pamoja na wadau wote wa lishe kwa kufanya vizuri katika utelekezaji wa mkataba na kutoa wito wa kuendelea kushirikiana na kuhakikisha suala la lishe linapewa kipaumbele na kuwa ajenda ya kudumu kuanzia ngazi ya kijiji, kata hadi ngazi ya wilaya na kupongeza uongozi wa Halmashauri kwa kuanzisha Klabu za Lishe kwenye shule ili kuongeza ufahamu na uelewa wa suala la lishe kwa wanafunzi.

Naye Bi. Janeth Bandari ambaye ni Afisa Lishe, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga amewashukuru wadau wote kwa ushirikiano mkubwa na kuhakikisha suala la lishe linakua mtambuka kuanzia ngazi ya kaya na kijiji huku akizitaja kata tatu za Lukarasi, Wikiro na Amanimakolo kuwa ndizo zilizofanya vizuri zaidi katika utekelezaji wa mkataba wa lishe miongoni mwa kata 29 za Halmashauri ya hiyo kwa kipindi cha robo ya pili.

Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kiliambatana na upimaji wa hali ya lishe kwa wajumbe wote wa kikao lililohusisha kufanyika kwa tathimini ya uwiano kati ya uzito na urefu, zoezi ambalo liliongozwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbinga ambaye pia alikua Mwenyekiti wa kikao hicho.

Imeandikwa na 

Salum Said, Mbinga

Tarehe 3 Machi, 2022



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit