• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

MBINGA D.C - KINARA UTEKELEZAJI MKATABA WA LISHE MKOA WA RUVUMA

Tarehe ya kuwekwa: March 3rd, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imeongoza kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha nusu mwaka kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2021/2022 mara baada ya kufanyika kwa tathimini ya utekelezaji wa Mkataba huo ngazi ya Mkoa Halmashauri hiyo imeibuka kinara kwa kushika nafasi ya kwanza kati ya Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma

Akizungumza wakati wa Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha Robo ya Pili kilichofanyika Machi 3 kwenye Ukumbi Shule ya Sekondari Kiamili, Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo amesema Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imefanya vizuri kwa kutelekeza kwa ukamilifu afua zote za lishe kwa mujibu wa mkataba kwa vipindi viwili mfululizo vya utekelezaji wa Mkataba huo kwa mwaka huu wa fedha kuanzia Julai hadi Desemba 2021/2022

Mhe. Mangosongo amewapongeza watumishi na watendaji wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga pamoja na wadau wote wa lishe kwa kufanya vizuri katika utelekezaji wa mkataba na kutoa wito wa kuendelea kushirikiana na kuhakikisha suala la lishe linapewa kipaumbele na kuwa ajenda ya kudumu kuanzia ngazi ya kijiji, kata hadi ngazi ya wilaya na kupongeza uongozi wa Halmashauri kwa kuanzisha Klabu za Lishe kwenye shule ili kuongeza ufahamu na uelewa wa suala la lishe kwa wanafunzi.

Naye Bi. Janeth Bandari ambaye ni Afisa Lishe, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga amewashukuru wadau wote kwa ushirikiano mkubwa na kuhakikisha suala la lishe linakua mtambuka kuanzia ngazi ya kaya na kijiji huku akizitaja kata tatu za Lukarasi, Wikiro na Amanimakolo kuwa ndizo zilizofanya vizuri zaidi katika utekelezaji wa mkataba wa lishe miongoni mwa kata 29 za Halmashauri ya hiyo kwa kipindi cha robo ya pili.

Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kiliambatana na upimaji wa hali ya lishe kwa wajumbe wote wa kikao lililohusisha kufanyika kwa tathimini ya uwiano kati ya uzito na urefu, zoezi ambalo liliongozwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Mbinga ambaye pia alikua Mwenyekiti wa kikao hicho.

Imeandikwa na 

Salum Said, Mbinga

Tarehe 3 Machi, 2022



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 05, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • VIJANA FASTAFASTA WANUFAIKA MKOPO WA BAJAJI

    April 25, 2022
  • MIRADI 9 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2022

    April 10, 2022
  • KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UBORA WA MIRADI MBINGA DC

    March 18, 2022
  • MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 08, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit