• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MBINGA DC YAFANYA KIKAO CHA KWANZA CHA MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2023

Tarehe ya kuwekwa: February 16th, 2023

Kamati ya Sherehe ya Wilaya ya Mbinga chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Bi. Aziza Mangosongo imekutana na kufanya kikao cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu 2023.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Kigonsera ikiwa ni hatua muhimu katika kufanya maandalizi ya msingi na ya awali kuhusiana na ujio wa Mwenge huo wa Uhuru kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga na kukutanisha wadau mbalimbali wa Mwenge wakiwemo viongozi wa serikali, vyama vya siasa, viongozi wa dini, watumishi wa sekta na taasisi mbalimbali za umma na binafsi pamoja na madiwani.

Kupitia kikao hicho wajumbe walianza kwa kufanya tathmini ya mbio za Mwenge wa Uhuru wilayani Mbinga hususani Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mwaka uliopita wa 2022 kabla ya kujielekeza kujadili na kuweka mipango na mikakati ya kuupokea Mwenge huo wa Uhuru ambao mwaka huu unatarajiwa kuwashwa Mkoani Mtwara mapema mwezi Aprili.

Katika hatua nyingine Mhe. Mangosomo ameelekeza Halmashauri kupitia Mkurukugenzi Mtendaji na Menejimenti yake kuanza haraka mchakato wa kuainisha miradi ya maendeleo itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2023 sambamba na mapendekezo ya njia (route) ya Mwenge.

Vilevile kupitia kikao hicho Mkuu wa Wilaya ametoa wito wa kuanza kufanyia kazi uundwaji wa Kamati mbalimbali za Mwenge unakaotakiwa kwenda sambamba kuhuisha wajumbe wa kamati hizo na uteuzi wa wajumbe wapya pale itakapohitajika kufanya hivyo.

Ratiba ya awali ya Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2023 inabainisha kuwa Mwenge huo utawashwa Mkoani Mtwara mwanzoni mwa mwezi Aprili ambapo unatarajiwa kupokelewa Mkoani Ruvuma kupitia Wilaya ya Tunduru tarehe 17 Aprili na hatimaye kuingia na kukimbizwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Aprili 22

Imeandikwa na Salum Said 

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Tarehe 16 Februari, 2023

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit