• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MBINGA DC YAPEWA KONGOLE UJENZI WA SHULE MAALUM KWA WENYE WALEMAVU

Tarehe ya kuwekwa: December 22nd, 2022

Kamati ya Siasa Wilaya ya Mbinga imepongeza jitihada zinazofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga katika kuweka mazingira rafiki na salama ya kujisomea na kujifunzia kwa watoto wenye mahitaji maalum wilayani humo.

Hayo yamejiri Alhamisi Disemba 22, kufuatia ziara ya Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Mbinga ilipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Msingi ya Bweni inayojengwa Kijiji cha Maguu, mahsusi kwa ajili ya watoto wenye ulemavu na wenye mahitaji maalum.

Akizungumza mara baada ya kukagua ujenzi wa mradi huo Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mbinga Ndg. Augustino Joseph Mdaka amempongeza Mkurugenzi Mtendaji na Timu yake ya Wataalamu na Madiwani kwa kuamua kujenga Shule hiyo maalum kabisa kwa watoto wenye ulemavu.

Ndugu Mdaka amesema mradi huo wa Shule utakapokamilika utasaidia kuweka mazingira rafiki na salama ya kujisomea na kujifunzia kwa watoto wenye ulemavu ambao wamekua wakikabiliwa na changamoto mbalimbali wanapopata elimu kwenye shule za mchanganyiko na hivyo kuathiri maendeleo yao ya kitaaluma.

"Sisi kama Kamati ya Siasa tumeona jitihada kubwa zilizofanyika hapa na tunakupongeza Mkurugenzi na timu yako kwa kuamua kutekeleza mradi wa namna hii ambao utakapokamilika utawasaidia vijana wetu wenye mahitaji maalum kuwa na mazingira mazuri ya kupata elimu na hatimaye kuweza kujitegemea kwenye maisha yao ya mbeleni". Ameongeza Mwenyekiti huyo.

Shule hiyo ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum inajengwa kijiji cha Maguu kilichopo Kata ya Maguu, Tarafa ya Hagati, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kutumia fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo hadi sasa kiasi cha shilingi Milioni 150 zimepelekwa shuleni hapo na tayari vyumba 4 vya madarasa, Ofisi 2 za walimu na matundu 11 ya vyoo yameshajengwa huku ujenzi wa bweni la wanafunzi 80 ukiwa unaendelea

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit