• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MBINGA DC YAPONGEZWA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2024

MBINGA  DC YAPONGEZWA UTEKELEZAJI  WA MIRADI

Na Silvia Ernest

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Kanali Ahmed Abbas  amempongeza Mkurugenzi  wa Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga Joseph Rwiza  kwa kusimamia  utekelezaji wa ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Halmashauri  pamoja na ujenzi wa wodi tatu katika hospitali ya Halmashauri  ya Wilaya.

Pongezi hizo zimetolewa  tarehe  29 Mei 2024  katika ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  kukagua utekelezaji wa  miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

 "Utekelezaji wa miradi unaridhisha nikupongeze Mkurugenzi maboresho madogo madogo ni kama kupanda miti ya matunda  miti ya kivuli ili eneo hili livutie" Amesema

Sambamba na pongezi hizo ametoa wito kwa Halmashauri  kuhakikisha miundombinu  hiyo inatunzwa vizuri na kusisitiza  kuwa Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya  utekelezaji wa miradi hiyo.


Kwa kipekee Kanali  Abbas  amempongeza  Kaimu Mkuu wa Divisheni ya  Miundombinu  na Maendeleo ya Vijiji na Miji Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga Bi. Neema Mbilinyi  kwa kusimamia utekelezaji  miradi, amemtaka kuendeleza  ari hiyo  ya kutekeleza miradi katika viwango bora.

" Mimi  binafsi nina farijika sana nikikuta Mhandisi  anaesimamia ujenzi  ni mwanamke, umefanya kazi nzuri inaonekana  endeleza hiyo ari ya uwajibikaji  na uzalendo" Amesisitiza

Ujenzi wa jengo la makao Makuu ya Halmashauri umegharimu  shilingi  Bil 3.3  hadi kukamilika na ujenzi wa wodi tatu utagharimu  shilingi 500,000,000 hadi kukamilika.

Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga inaendelea kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwa kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji  huo ambao unakwenda kuleta tija kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit