• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MBINGA DC YAWASHUKURU WATAALAM KUTOKA SUA KWA ELIMU YA MNYOO TEGU

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2023

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Bw. Andrew Mbunda  ameishukuru Timu ya Waataalam kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)  kwa kutoa Elimu ya namna bora ya  kuzuia na kudhibiti maambukizi ya mnyoo Tegu (Taenia solium) ambao unaathiri afya ya binadamu na nguruwe.

Bw. Andrew Mbunda ameishukuru Timu ya Waataalam kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwa kutoa Elimu ya namna bora ya kuzuia na kudhibiti maambukizi ya mnyoo Tegu (Taenia solium) ambao unaathiri afya ya binadamu na nguruwe.

Bw. Andrew Mbunda amebainisha hayo tarehe 29 Mei 2023  katika kikao kazi cha  kuwasilisha matokeo ya tafiti ya mzunguko wa maisha ya mnyoo Tegu uliofanywa na  Wataalam  kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) katika vijiji vya Matiri na Mkumbi vilivyopo katika Halmshauri ya Mbinga Mkoani Ruvuma.

"Nitoe shukrani zangu kwenu kwanza mmeleta mrejesho wa tafiti maana mngekuwa wengine msingerudi kutoa matokeo lakini pia elimu hii itatusaidia kutoa elimu endelevu kwa jamii" Amesisitiza Mbunda.

Akizungumza katika Kikao kazi hiko Bi. Christina Marwa kutoka Chuo Kikuu cha SUA amebainisha kuwa madhara ya mnyoo huyo kwa binadamu ni pamoja na kusasabisha kupooza mwili, upofu, maumivu ya kichwa  ya muda mrefu pamoja na kifafa, hivyo ametoa wito kwa Halmashauri kutoa elimu endelevu kwa jamii ili kujikinga dhidi ya maambukizi  hayo.

Kwa upande wake Bw. Innocent Meckriory kutoka chuo cha SUA amebainisha kuwa uelewa wa jamii kuhusiana na madhara yanayosababishwa na mnyoo huyo bado ni mdogo na pia bado kuna maambukizi ya mnyoo huyo kwa binadamu na nguruwe nchini.

Bw. Innocent amesisitiza kuwa  elimu  endelevu kwa jamii ya namna bora ya kuzingatia usafi wa chakula  pamoja na kunywa maji safi na salama ni baadhi ya njia za kudhibiti maambukizi ya mnyoo huyo.

Utafiti  huo ulifanyika mwaka 2019 katika Vijiji vya Matiri na Mkumbi vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit