• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

MIRADI 9 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2022

Tarehe ya kuwekwa: April 10th, 2022

Jumla ya miradi 9 yenye thamani ya shilingi milioni 325.94 imetembelewa katika Kata 4 za Mpapa, Nyoni, Kigonsera na Mkako ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga na Mwenge wa Uhuru uliopokelewa Kijiji cha Burma, Kata ya Mpapa ukitokea Wilayani Nyasa Jumamosi Tarehe 9 Aprili, 2022

Akiwasilisha taarifa mara baada ya kuhitimishwa kwa Mbio za Mwenge wa Uhuru ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Juma Haji Juma amesema katika mbio za Mwenge mwaka huu miradi mitatu yenye thamani ya shilingi milioni 77.3 imekaguliwa, miradi 5 yenye thamani ya Tshs. Milioni 231.1 ikifunguliwa.

Aidha Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa mradi mmoja wa bajaji wenye thamani ya Tshs. Milioni 17.45 ukishindwa kukabidhiwa kwa Kikundi cha Vijana Fastafasta huku Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Ndugu Sahili Nyanzabara Geraruma akitoa maelekezo ya bajaji hizo kukatiwa bima kubwa (comprehensive) badala ya bima ndogo (third party).

Miradi iliyotembelewa na Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2022 ni Shamba Bora la Kahawa, Shamba la Miti (Kijiji cha Burma), Mradi wa Maji wa mtu binafsi, Ufunguzi wa Zoezi la Tohara na Ugawaji wa Vyandarua zahanati ya kijiji cha Kigonsera (Kijiji cha Kigonsera).

Miradi mingine ni Ufunguzi wa Anwani za Makazi na Postikodi, Klabu ya Lishe, Klabu ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB Club) na Ufunguzi wa Vyumba 3 vya Madarasa yaliyojengwa kupitia mradi Na.5441 TCRP (UVIKO-19) Shule ya Sekondari Mkako yote hii ikiwa ikitembelewa katika Kijiji cha Mkako.

Imeandikwa na 

Salum Said, Mbinga DC

Tarehe 10 Aprili, 2022

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 05, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • VIJANA FASTAFASTA WANUFAIKA MKOPO WA BAJAJI

    April 25, 2022
  • MIRADI 9 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2022

    April 10, 2022
  • KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UBORA WA MIRADI MBINGA DC

    March 18, 2022
  • MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 08, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit