• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MKURUGENZI RWIZA NA AGIZO LA FIRST AID KIT SHULENI

Tarehe ya kuwekwa: April 19th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Rwiza amewataka Walimu Wakuu wa shule za Msingi  na Wakuu wa shule za Sekondari zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kuhakikisha wanaweka  kisanduku cha huduma ya kwanza( First Aid Kit) shuleni  ili kuwezesha utoaji  wa huduma ya kwanza kwa wanafunzi.

Agizo hilo limetolewa tarehe 19 Aprili 2024 katika kikao kazi cha Mkurugenzi  Mtendaji na walimu Wakuu na Wakuu wa Shule, Maafisa Elimu Kata, Maafisa Tarafa pamoja na Watendaji wa Kata.

" Uwepo wa first aid kit katika shule zetu ni muhimu sana katika kutoa huduma ya kwanza kwa wanafunzi wetu pindi dharula inapotokea ,kwahiyo kila Mkuu wa shule ahakikishe anatekeleza  hili" Amebainisha Mkurugenzi Rwiza

Ili kuhakikisha wanafunzi wanaongeza  maarifa na ustadi  amewataka  walimu hao  kuanzisha na kuendeleza klabu  mbalimbali katika shule zao akisisitiza kuwa ni mfumo mzuri  wa kuwajengea uwezo pamoja na kuwaongezea maarifa  wanafunzi.

" Kuna Klabu kama za mazingira, Rushwa na nyingine nyingi anzisheni hizi Klabu na kama zipo basi ziendelezeni zina faida kubwa kwa wanafunzi"Amesisitiza

Aidha katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati na katika ubora tarajiwa amewataka  washiriki wa kikao hiko kushirikiana kwa pamoja katika utekelezaji wa  miradi pamoja na kuhakikisha  kila mmoja anatimiza majukumu yake ya kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa miradi.

Kwa upande wa Maafisa Elimu Kata, Mkurugenzi Rwiza amewataka maafisa hao kutimiza wajibu wao wa kusimamia na kufuatilia masuala ya taaluma katika maeneo yao lengo likiwa ni kuimarisha ujifunzaji na ufundishaji  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Imeandikwa na Silvia Ernest 

Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali 

Tarehe 19 Aprili, 2024

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit