• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI MBINGA DC NA MAPITIO YA SHUGHULI ZA HALMASHAURI ROBO YA PILI 2022/2023

Tarehe ya kuwekwa: February 16th, 2023

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga wamekutana kupitia mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani kujadili utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Halmashauri hiyo kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka kuanzia Oktoba hadi Disemba 2022/2023.

Mkutano wa Baraza la hilo la Madiwani umefanyika Jumatano Februari 15, 2023 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Kigonsera na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali ngazi ya Wilaya wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo.

Akitoa salamu za serikali mbele ya wajumbe wa baraza na wageni waalikwa Mkuu wa Wilaya ya Mbinga pamoja na mambo mengine amewataka viongozi kusimamia kikamilifu miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo yao na kutoa wito kwa kila mmoja katika jamii kusimamia maadili hususani maelezi bora kwa watoto.

Baraza hilo la Madiwani chini ya mwenyekiti wake ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Desderius Haule na Katibu wa Baraza ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Juma Haji Juma limepitia na kujadili taarifa na utendaji kazi wa Kamati za Kudumu za Halmashauri kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka huu wa fedha ulioanza Julai 2022.

Aidha, Taasisi za serikali ambazo ni pamoja na Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) na Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini (RUWASA) zimeweza kuwasilisha taarifa za utendaji kazi wao kwa kipindi cha robo ya pili ambapo wajumbe wameweza kupata nafasi ya kuchangia mawasilisho hayo.

Mkutano huo wa Baraza la Madiwani umekutanisha pia Madiwani wa Kata na wale wa Viti Maalum, Menejimenti ya Halmashauri, wataalamu wakiwemo watendaji wa Kata zote 29 za Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, viongozi wa dini, wawakilishi wa makundi maalum wakiwemo viongozi wa Chama cha Watu Wenye Ulemavu Wilaya ya Mbinga (CHAWATA) na wageni wengine waalikwa.


Imeandikwa na

Salum Said 

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit