• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

MSIMU WA KAHAWA 2018/2019 WAFUNGULIWA RASMI

Tarehe ya kuwekwa: July 11th, 2018

Mkuu wa wilaya ya Mbinga Ndg. Cosmas Nshenye amefungua rasmi msimu mpya wa uuzaji wa zao la Kahawa Wilayani Mbinga tarehe 29/06/2018. Katika ufunguzi huo Mhe. Mkuu wa wilaya alieleza kuwa msimu huu umetoa fursa kwa Wakulima kuuza zao la Kahawa kupitia vyama vyao vya Msingi (AMCOS).

Akihutubia wadau mbalimbali wa kahawa na viongozi wa vyama vya msingi Mhe. Mkuu wa wilaya ya Mbinga alisema kuwa uuzwaji wa zao la kahawa kupitia Ushirika kwa msimu huu ni kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) kwamba Wakulima wote wa zao la kahawa lazima waunde vikundi (AMCOS) na kahawa yao itatoka kwenye hizo AMCOS kwenda kuuzwa mnadani kupitia chama  kikuu cha Ushirika, hii ni kutekelezwa kwa ilani ya chama 2015 chini ya uongozi wa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk. John Pombe  Magufuli.

Mkuu wa wilaya aliwaasa wakulima wa kahawa kuwa ni lazima kahawa ikusanywe na kutunzwa vizuri kwa kiwango chenye ubora ili kuweza kujipatia soko nzuri litakaloweza inua pato lao na Taifa kwa ujumla ili kufikia maisha bora ambapo mkulima anaweza kujipatia stahiki (mahitaji) mbalimbali bila wasiwasi.

Aidha Mheshimiwa mkuu wa Wilaya alisisitiza  usimamizi na kudhibiti utoroshaji pamoja biashara isiyo rasmi (Magoma) kwa zao la kahawa ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa vyama vya Msingi kupitia wataalamu husika wa kilimo ili kuona utekelezaji wa agizo la Wazili Mkuu linafikiwa.

Kwa namna ya pekee,  Viongozi wa vyama vya Msingi walipendekeza Taasisi za Kifedha kuwapatia Fedha kwa wakati ili waweze kukidhi mahitaji yao kijamii ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa pembejeo kwa lengo la kuboresha mazao yao shambani.

Kutokana na sensa iliyofanyika baada ya agizo la Waziri Mkuu, Wilaya ya Mbinga ina jumla ya wakulima wa zo la kahawa takribani 12,146 ambao wanajumla ya Hekta 7973.24 na wana jumla ya AMCOS- 14  kwa Mbinga Mji na chama Kikuu kimoja cha Ushirika MBIFACU. Makisio ya uzalishaji wa kahawa kwa msimu 2018/19 ni zaidi ya Tani 3,000.

Akifunga kikao hicho cha ufunguzi wa msimu, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Ndg. Ndunguru Kipwele aliwataka viongozi  hao kuimarisha Ushirika ili kuwa na nguvu kama miaka ya zamani ili kuachana na ubadhilifu uliosababisha Chama Cha Ushirika MBICU kufilisika. Hivyo kuwa na Ushirika wenye nguvu utakuwa ni Mkombozi kwa Mkulima wa Mbinga.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit