• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

RC RUVUMA AZINDUA MADARASA MAALUM YA AWALI SHULE YA MSINGI KIPAPA

Tarehe ya kuwekwa: April 27th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezindua madarasa mawili ya awali yaliyojengwa shule ya Msingi Kipapa iliyopo tarafa ya Hagati Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Tukio hilo limefanyika leo tarehe tarehe 27 Aprili 2023 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali ikiwa ni muendelezo wa shughuli zinazofanyika kwenye maeneo mbalimbali Wilayani Mbinga katika wiki hii ya maadhimisho ya Sikukuu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Akiwasisilisha taariya mbele ya Mkuu wa Mkoa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kipapa Saulo Komba amesema mradi huo unaojumuisha ujenzi wa madarasa mawili, matundu 6 ya vyoo, meza na viti pamoja na mfumo wa maji hadi kukamilika kwake umegharimu shilingi Milioni 57.9 ambapo utekelezaji wake ulianza Agosti 2022 na kukamilika Novemba 2022.

Mara baada ya uzinduzi wa mradi huo RC Thomas amepongeza juhudi zilizofanywa na uongozi wa shule, Halamashauri ya kijiji cha Mpapa na Wilaya katika kusimamia kikamilifu mradi huo na kutoa wito kwa wanafunzi, walimu na jamii nzima kuzingatia ulinzi na utunzaji wa miundombinu ya shule hiyo.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amekemea wimbi la matukio yanayosababishwa na mmomonyoko wa maadili na kusisitiza kuwa suala la malezi ya watoto linapaswa kuwa jukumu la jamii nzima katika kulea na kufatilia maadili ya watoto.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amechangia mifuko 10 ya saruji katika kuunga mkono jitihada za wananchi wa kijiji cha Kipapa kwa kuanzisha ujenzi wa darasa kwa nguvu zao ambalo bado lipo hatua ya awali ya ujenzi wake huku pia akishiriki zoezi la upandaji wa miti kwenye shule hiyo ambapo miti 400 imepandwa.


Imeandikwa na Salum Said,

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini 

27 Aprili 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit