• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

UWANJA WA AMANI MAKORO WAFAA MAONESHO YA NANENANE KIMKOA 2024

Tarehe ya kuwekwa: May 30th, 2024


Na  Silvia Ernest

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas amethibitisha kuwa uwanja  wa maonesho  ya  Nane Nane Amani Makoro  uliopo  Kata ya Amani Makoro  Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga unafaa kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za nane nane Mkoa wa Ruvuma kwa mwaka 2024.

Ameahidi  kwenda  kulifanyia  kazi ombi la Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Kisare Makori la kuomba  maadhimisho  hayo Kimkoa  yafanyike katika uwanja huo.

Hayo yamebainishwa tarehe 30 Mei 2024  katika  ziara ya Mkuu wa Mkoa  kutembelea na kukagua miundombinu ya  uwanja huo.

Aidha ameagiza  miundombinu  ya viwanja hivyo iendelee kuboreshwa ili kama itaamriwa maadhimisho  hayo yafanyike katika viwanja hivyo, tayari mazingira yawe rafiki.

"Viwanja hivi vinafaa nimengalia mazingira yapo rafiki na nimesikia ombi la Mkuu wa Wilaya la kuomba mwaka huu Kimkoa  maadhimisho  yafanyike katika eneo hili sasa nipeni  muda nikafanye maamuzi kati ya hapa na viwanja vya Sinai" Amesisitiza

Akisoma taarifa  Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na  Uvuvi  Mhandisi  Evance Haule amesema  Uwanja huo ambao upo Kilomita 8  kutoka barabara  kuu ya Mbinga- Songea una ukubwa wa  ekari 18.8  ulitolewa na wananchi wa Kijiji cha Amani Makoro kupitia Serikali ya Kijiji  kwa ajili ya maonesho hayo.

Haule ameeleza kuwa  mpangilio wa matumizi  ya viwanja katika eneo hilo unahusisha  viwanja vya mabanda  ya maonesho ya kilimo na mifugo, Wajasiriamali, Huduma za kijamii,Taasisi za Serikali  na binafsi, Bustani, Maegesho ya magari, Uwanja wa mikutano, Eneo la burudani pamoja na matumizi mengineyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit