• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

VIJANA FASTAFASTA WANUFAIKA MKOPO WA BAJAJI

Tarehe ya kuwekwa: April 25th, 2022

Mkuu wa Wiaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo amekabidhi bajaji mbili zenye thamani ya shilingi milioni 17 kwa vijana watano wa kikundi cha FastaFasta ikiwa ni sehemu utekelezaji wa sera ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 za mapato ya ndani kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu unaofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ndani ya mwaka huu wa fedha 2021/2022

Makabidhiano hayo yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25, 2022 kwenye Ofisi za Halmashauri zilizopo Kiamili ambapo Mkuu wa Wilaya amezindua na kukabidhi bajaji hizo kwa vijana tukio lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Desderius Haule, Paschal Zacharia ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo, Madiwani ambao ni wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango na watumishi wengine wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Bajaji hizo zinatarajiwa kurahisisha huduma ya usafishaji wa abiria kwa wakazi wa Kata za Kigonsera, Mkako na maeneo jirani hususani kati ya Hospitali ya Wilaya, stendi ya mabasi na Ofisi za Halmashauri zinazojengwa ndani ya eneo hilo la Kiamili.

Salum Said, Afisa Habari Mbinga DC 

Tarehe 25 Aprili, 2022

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI WA KAZI YA SENSA MBINGA DC July 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WAOMBAJI WA KAZI YA SENSA 2022 NBINGA DC July 18, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MBINGA DC YAONGOZA TENA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE

    June 20, 2022
  • VIJANA FASTAFASTA WANUFAIKA MKOPO WA BAJAJI

    April 25, 2022
  • MIRADI 9 YATEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2022

    April 10, 2022
  • KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UBORA WA MIRADI MBINGA DC

    March 18, 2022
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit