• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

VIJIJI VYA MAHILI,KITURA NA MZUZU KUNUFAIKA NA MRADI WA LTIP

Tarehe ya kuwekwa: September 7th, 2023

Na Silvia Ernest


Vijiji vya  Mahilo, Mzuzu pamoja na Kitura ni  miongoni mwa  Vijiji  103 vya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ambavyo vinakwenda kunufaika  na mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za ardhi ( LTIP) unaotekelezwa  na Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.


Vijiji hivyo vipo katika awamu ya pili ya utekelezaji wa mradi wa LTIP ambapo katika awamu ya kwanza Vijiji vya  Mkalanga, Ndembo, Silo, Mapipili, Linda, Liyombo, Ulolela pamoja na Lukiti  vilifikiwa na mpango huo.


Akizungumza  katika mkutano  na wananchi wa Kijiji cha Mahilo leo tarehe 7 Septemba 2023  Afisa  Mipangomiji kutoka  Halmashauri  ya Wilaya ya  Mbinga Bw. Frank Kaseke amesema kuwa  umuhimu wa mpango wa matumizi bora ya ardhi ni pamoja na kuongeza uelewa wa  usalama wa ardhi kwa kuzingatia jinsia na makundi maalum, kuwezesha umikilishwaji wa  ardhi  pamoja  na kudhibiti  kuongezeka kwa idadi ya migogoro miongoni mwa watumiaji wa ardhi.


Ili kufanikisha utekelezaji wa mpango huo Kaseke  ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu wakati wa utekelezaji wa mpango.


"Huu mpango ni shirikishi ndio maana wananchi wote tutashiriki kuanzia mwanzo hadi mwisho wa utekelezaji hivyo nitoe wito kwa wananchi tushirikiane ili tufanikishe malengo ya Serikali yetu" Amebainisha Kaseke.


Kupitia mkutano huo ambao ulifanyika pia katika Vijiji vya Kitura na Mzuzu  wananchi walipata elimu ya kutosha  juu ya mradi wa LTIP na Mpango wa matumizi bora ya ardhi ya vijiji, kisha walichagua wajumbe 7 wa Baraza la  usuluhishi wa migogoro la kila Kijiji pamoja na wajumbe 8 wa Kamati ya  usimamizi ya matumizi bora ya ardhi kwa kila Kijiji.


Hadi kufikia Mei 2027, Mradi wa LTIP  umelenga kuvifikia Vijiji 103 kati ya vijiji 117  vya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Vijiji vilivyobaki vimepandishwa hadhi kuwa Miji midogo na zoezi hili kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga halihusu Miji midog

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit