• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

VIONGOZI WA WILAYA YA ILEJE WAFANYA ZIARA YA KIKAZI MBINGA DC

Tarehe ya kuwekwa: May 12th, 2023

Viongozi na Wataalamu kutoka Wilaya ya Ileje iliyopo Mkoani Songwe leo Mei 12, 2023 wamefanya ziara kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ambapo wametembelea maeneo mbalimbali na kujionea namna ukusanyaji wa mapato unavyofanyika kupitia shughuli za uchimbaji wa makaa ya mawe.

Timu hiyo ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ileje Bi. Farida Mgomi imejumuisha pia Menejimenti ya Halmashauri, Kamati ya Fedha, Katibu wa Mbunge Jimbo la Ileje pamoja na viongozi wengine awali iliwasili mapema Ofisi za Halmashauri Kiamili na kupokelewa na mwenyeji wao ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri Juma Haji Juma kabla ya kuelekea kwenye mgodi wa makaa ya mawe wa Kampuni ya Jitegemee Holdings uliopo Kijiji cha Ntunduwaro, Kata ya Ruanda.

Mara baada ya kujionea namna shughuli za uchimbaji wa madini hayo unavyofanyika kwenye eneo la mgodi, timu hiyo iliyoambata na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kutoka Idara na Vitengo vinavyohusika na usimamizi wa shughuli za ukusanyaji wa mapato imepitia na kupata maelezo kwenye eneo la kuchakata na kuuzia makaa ya mawe (sales point) la Kamapuni ya Jitegemee lililopo Paradiso.

Aidha ziara hiyo imehitimishwa kwa Timu ya Viongozi na Wataalamu kutoka Ileje ziara kutembelea kituo cha ukaguzi na ukusanyaji wa mapato cha Kitai ambapo wameweza kupata maelezo ya kina juu ya aina na namna Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inavyosimamia makusanyo ya ushuru, tozo na mapato mbalimbali yanayotokana na makaa ya mawe.

Mara baada ya kuhitimisha ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe. Farida Mgomi kwa niaba ya Timu yake ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa ushirikiano mkubwa walioupata na kwamba kupitia ziara hii wamejifunza mengi ambayo wao kama viongozi na Wataalamu wataenda kuyafanyia kazi na hatimaye kuhakikisha Halmashauri na Wilaya ya Ileje inajiimarisha na kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa ushuru na mapato kupitia sekta ya makaa ya mawe kama ilivyo sasa kwa Halamashauri ya Wilaya ya Mbinga.


Imeandaliwa na Salum Said

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

Tarehe 12 Mei, 2023

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit