• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

WAFANYABIASAHA WA MAZAO MBINGA WAPEWA ANGALIZO

Tarehe ya kuwekwa: July 5th, 2024

WAFANYABIASHARA WA MAZAO  MBINGA DC WAPEWA ANGALIZO


Na Silvia Ernest


Wafanyabiashara wa mazao Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga wametakiwa kufuata taratibu zilizopo wakati wa  kusafirisha mazao  ili kuepuka usumbufu  pamoja na adhabu ya  kulipa faini pindi  watakapokiuka  taratibu zilizopo.


Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi  Mtendaji  Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph  Kashushura  alipozungumza  na wafanyabiashara  hao Ofisi  kwake tarehe 4 Julai 2024.


Amesema " kuna baadhi ya wafanyabiashara hawafuati sheria zilizopo wakati wa kusafirisha mazao  kuna baadhi  hata leseni zimepita muda wake  sasa ili tuweze kwenda sawa lazima tufuate taratibu zilizowekwa"


Aidha amewataka wafanyabiashara hao kuendelea  kushirikiana na Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga kwa kutoa taarifa pindi wanapogundua wafanyabiashara ambao wanakiuka taratibu hatua ambayo itapelekea  kudhibiti upotevu wa mapato.


" Tuendelee kushirikiana haya mapato tunayokusanya ndio tunayotumia kutekeleza miradi yetu ya maendeleo sasa mtu anapofanya biashara kinyume na taratibu tutapata wapi hizo fedha" Amesisitiza


Kwa upande  wake Kaimu Mkuu wa Divisheni Viwanda na Biashara  na Uwekezaji  Martina Ngahy amewataka wafanyabiashara hao kulipa ushuru , kuwa na leseni hai pamoja na kibali  kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga akisisitiza  kuwa ofisi yake ipo wazi kuwahudumia muda wote.


Nae  Msafiri Turo ambae ni mfanyabishara wa mazao  amemshukuru Mkurugenzi Kashushura kwa kukutana na wafanyabiashara hao  na kusisitiza kuwa hatua hiyo imesaidia kutatua changamoto kutoka pande zote mbili  huku akitoa wito vikao hivyo viwe endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit