• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

"WAGANGA WAFAWIDHI SIMAMIENI UKUSANYAJI WA MAPATO" MKURUGENZI RWIZA

Tarehe ya kuwekwa: March 26th, 2024

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Rwiza amewataka waganga wafawidhi  wa vituo vya kutolea huduma za afya kutekeleza  majukumu yao ya kuwahudumia wananchi sambamba na kusimamia ukusanyaji wa mapato katika maeneo yao.

Rwiza ametoa agizo hilo  tarehe 26 Machi 2024 katika kikao chake na  timu ya uendeshaji wa huduma za afya pamoja na waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

"Mwenendo wa  ukusanyaji wa mapato hauridhishi  kuna vituo ambavyo vina alama  nyekundu hapa  hakikisheni mnatimiza wajibu wenu na nyie ambao mnafanya vizuri endelezeni ari hiyo tukikutana tena nataka nione mabadiliko"  Amesema 

Aidha amewataka viongozi hao kuhakikisha  wanaimarisha ulinzi na usalama  pamoja na kuzingatia usafi wa mazingira katika maeneo yao akisisitiza kuwa mazingira safi ni moja wapo ya tiba kwa wagonjwa wanaokwenda  kupata huduma katika vituo hivyo.

Kwa upande mwingine ameitaka timu ya uendeshaji wa huduma za afya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kusimamia na kufanya ufuatiliaji  katika vituo vya kutolea huduma za  afya ili kuimarisha utoaji wa huduma bora za afya  kwa wananchi.

Kwa kipekee Mkurugenzi Rwiza ametoa pongezi kwa Zahanati ya  Kigonsera kwa kusimamia vizuri ukusanyaji wa mapato yatokanayo na huduma ya bima  ya CHF,  amewataka  washiriki wa kikao wengine kuiga mfano huo katika maeneo yao.

Naye  Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga George Mhina ameeleza kuwa katika  mwaka wa fedha 2024/2025 Halmashauri imetenga fedha kwa ajili ya ununuzi wa vishikwambi ambavyo vitatumika katika  kukusanya mapato  kwa kutumia mfumo wa kieletroniki wa GoT-HoMIS.

Ameeleza kuwa hatua hii itasaidia kuondoa udanganyifu na  mianya ya upotevu wa fedha katika vituo hivyo.

Imeandikwa na Silvia Ernest

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit