• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

WANA MUUNGANO WAMSHUKURU RAIS SAMIA UJENZI WA SEKONDARI

Tarehe ya kuwekwa: August 13th, 2024

WANA MUUNGANO WAMSHUKURU RAIS SAMIA UJENZI WA SEKONDARI

Na Silvia Ernest

Wananchi wa vijiji vya Kindambachini, Kizota na Kimara   vilivyopo Kata ya  Muungano  Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga wanamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungo wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa  ujenzi wa shule mpya ya Sekondari  ambayo itawaondolea adha wanafunzi  kutembea zaidi ya kilomita 10 kwenda katika  shule ya Sekondari  iliyopo  Kata ya jirani.

Wameahidi kutoa ushirikiakiano katika utekelezaji huo ili kuhakikisha ujenzi huo unakamilika kwa wakati ili shule hiyo ifunguliwe mwezi Januari 202.

Hayo yamebainishwa na Diwani wa Kata hiyo Mhe. Paul Kayobo alipozungumza kwa niaba ya wananchi hao tarehe 13 Agosti 2024.

“Tunamshukuru Rais wetu kwa kutuletea hizi fedha kwa ajili ya ujenzi wa Sekondari  ya Kata ya Muungano  tulipokea maelekezo kutoka kwa wataalam kutoka Halmashauri na baadhi ya maelekezo tumeshayatekeleza” Amesema Mhe. Kayombo

Wananchi hao tayari wameshashughulikia changamoto ya upatikanaji wa maji ambayo yatatumika katika utekelezaji huo pamoja na kufanya usafi katika eneo ambalo itajengwa shule hiyo na kuahidi kutoa nguvu kazi ili kupunguza gharama za utekelezaji.

Kwa upande wake Afisa Elimu wa  Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga   Felix Danda amebainisha kuwa mkakati wa Serikali ni kuhakikisha kila Kata inakwa na  shule ya Sekondari.

Ameeleza kuwa kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kati ya Kata 29 kata 3 tu   hazina shule ya Sekondari ikiwemo Kata ya Muungano  ambayo tayari kiasi cha shilingi 560,552,827  kimepokelewa  kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Sekondari.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit