• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

WANANCHI WAPONGEZWA KUCHAGIA UJENZI WA ZAHANATI

Tarehe ya kuwekwa: August 15th, 2024

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imewapongeza wananchi wa Kijiji cha Malindindo kilichopo Kata ya Kambarage kwa kuchangia Tshs. 20,000,000 katika ujenzi wa Zahanati ambayo inatarajia kutoa huduma kwa wananchi zaidi ya 2000 wa Kijiji hicho.


Aidha Kamati hiyo imeiwapongeza wananchi wa Kijiji cha Kibandai A kilichopo Kata ya Maguu kwa kuchangia zaidi ya Mil. 20 kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji.


Pongezi hizo zimetolewa 15 Agosti 2024 na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ambae pia ni diwani wa Kata ya Maguu Mhe. Bahati Mbele wakati wa ziara ya kamati hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


Amesema “ Hii ndio ari anayoitaka Rais Samia tuendelee kumuunga mkono katika utekelezaji wa miradi mingine iliyopo na itakayokuja kwasababu sisi ndio wanufaika namba moja wa miradi hii”


Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji Mtendaji wa Kata ya Kibandai A Rehema Njovu amebainisha kuwa pamoja na fedha hizo Kijiji kilipokea Tshs. 50,000,000 kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ili kukamilisha ujenzi huo ambao wananchi walitekeleza hadi kufikia hatua ya rinta.


Naye Mtendaji wa Kijiji cha Malindindo Cleopatra Lindi amebainisha pamoja na nguvu za wananchi Kijiji kilipokea Tshs. 50,000,000 kutoka Serikali Kuu na Tshs. 7,120,000 kutoka Ofisi ya Mkurugezi Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa ajili ya kumalizia mradi huo.


Akitoa maoni Mjumbe wa Kamati hiyo Diwani wa Kata ya Amani Makoro Mhe. Abrose Nchimbi ameupongeza uongozi wa Kijiji cha Kibandai A kwa kusimamia ujenzi huo akisisitiza kuwa ubora wa Zahanati hiyo unaridhisha na thamani ya fedha imeonekana.


Kwa upande wake Mhe. Michael Komba Diwani wa Kata ya Wukiro na mjumbe wa Kamati ametoa wito kwa uongozi wa Kijiji cha Malindindo na Kibandai A kuweka mkakati na mpango thabiti wa kujenga nyumba za watoa huduma ili watumishi hao wakae karibu na kituo na kuepusha usumbufu wakati wa kutoa huduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit