• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

YALIYOJIRI KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MBINGA DC TAREHE 9 NOVEMBA, 2022

Tarehe ya kuwekwa: November 9th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga siku ya Jumatano tarehe 9 Novemba 2022, Baraza la Madiwani liliketi katika kikao chake cha kawaida cha robo ya kwanza  kujadili taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi Septemba 2022/2023.

Kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ulioko Kiamili na kuongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mhe. Desderius Haule na Katibu wa Baraza hilo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Bw. Juma Haji Juma, Kikao hicho  kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali.

Pamoja na mambo mbali mbali yaliyojadiliwa na Baraza hilo, Pia  limeishauri Serikali kupitia Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA kuchunguza na kumchukulia hatua kandarasi Kisomi Engeneering Ltd kutokana na utekelezaji  ulio chini ya kiwango wa miradi ya barabara na madaraja kwenye maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga. Aidha, Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Mbinga Mhandisi Isack Mwita amesema tayari hatua kadhaa zimeanza kuchukuliwa ikiwemo shauri hilo kufikishwa Ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Mbinga, sambamba na kuipatia kampuni nyingine za kandarasi ambazo awali alipatiwa mkandarasi Kisomi Engineering Ltd.

Katika hatua nyingine Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga liligeuka kuwa Kamati ili kujadili shauri la utoro la mtumishi Reginald Sabas Komba ambapo kupitia taarifa ya maamuzi ya kamati, Mwenyekiti Mhe. Desderius Haule aliutangazia imma kuwa wamejiridhisha juu ya mashitaka hayo hivyo wameamua kumfuta kazi  mtumishi huyo aliyekua Mtendaji wa Kijiji cha Kimara Kata ya Muungano kwa kosa la kutokuwepo kazini muda mrefu.

Imetolewa na

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit