Tarehe ya kuwekwa: February 14th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brig. Jen. Balozi Wilbert Ibuge amezindua rasmi operesheni ya uwekaji wa anwani za makazi na postikodi itakayotekelezwa kwenye Wilaya na Halmashauri zote za Mkoa huo ndani ya ki...
Tarehe ya kuwekwa: February 11th, 2022
Jumla ya shilingi Milioni 182.5 zimetolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kuwezesha vikundi 26 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ndani ya kipindi cha miezi sita kuanzia Julai hadi Desemba...
Tarehe ya kuwekwa: February 8th, 2022
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga limepitisha azimio la kumfukuza kazi mtumishi mmoja huku wengine watatu wakitakiwa kufunguliwa mashitaka ya kinidhamu kutokana na kukiuka maadili ...