Tarehe ya kuwekwa: July 4th, 2021
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga JUMA MNWELE, anawatangazia watumishi wote walioajiriwa hivi karibuni na kupangiwa vituo vyao vya kazi ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ku...
Tarehe ya kuwekwa: July 1st, 2021
Kituo cha Afya Mapera kilichopo Kata ya Mapera, Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kimeanza rasmi kutoa huduma ya upasuaji ikiwa ni mara ya kwanza kwa kituo hicho kutoa huduma hiyo.
Huduma hiyo imeanz...
Tarehe ya kuwekwa: June 29th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mhe. Aziza Mangosongo amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekua Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Cosmas Nshenye katika hafla iliyofanyika leo Juni 29, 2021
Hafla hiyo ya makabidhiano ...