Tarehe ya kuwekwa: August 31st, 2021
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Mkoani Ruvuma wameiomba serikali kuweka mfumo rafiki utakaowezesha soko la mahindi lililopo kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula, NFRA linawafikia...
Tarehe ya kuwekwa: August 10th, 2021
Leo Agosti 10 yamefanyika makabidhiano ya Ofisi kati ya aliyekua Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Juma Ally Mnwele na Mkurugenzi Mpya wa Halmashauri hiyo Juma Haji Juma kufuatia...
Tarehe ya kuwekwa: August 6th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mhe. Aziza Mangosongo ametoa wito kwa wananchi kuchangamkia fursa ya kupata chanjo ya UVIKO-19 inayotolewa bure nchini ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vinavyosababish...