Tarehe ya kuwekwa: May 6th, 2021
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imeanza rasmi kutoa huduma ya vipimo na chanjo ya Homa ya Ini leo Mei 6 na viongozi na watumishi wa Halmashauri hiyo wamepata fursa ya kuhudumiwa.
Mkurugenzi Mtendaj...
Tarehe ya kuwekwa: May 4th, 2021
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imekusudia kuanza kutoa chanjo ya Homa ya Ini kuanzia tarehe 7 hadi 13 Mei, 2021
Huduma hiyo ya chanjo itatolewa kwenye Kata za Matiri, Kigonsera, Ruanda, Mkumbi na ...
Tarehe ya kuwekwa: April 30th, 2021
Uwanja wa kwanza wa kisasa wa mpira wa kikapu (Basketball) Wilayani Mbinga umezinduliwa leo Aprili 30.
Hafla ya uzinduzi wa uwanja huo uliopo Shule ya Sekondari ya Wasichana Mbinga (Mbinga Girls) i...