Tarehe ya kuwekwa: June 28th, 2021
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga imepongezwa kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye maeneo mbalimbali ya Halmashauri hiyo.
Hayo yamejiri leo Juni 28, 2021 wakati wa ziara y...
Tarehe ya kuwekwa: June 27th, 2021
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Juma Mnwele leo Juni 27, 2021 ameshiriki ibada ya misa takatifu na kuongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Kigango cha Kiamili, Parok...
Tarehe ya kuwekwa: June 22nd, 2021
Wakuu wa Wilaya walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuongoza Wilaya za Mkoa wa Ruvuma wameapishwa leo Juni, 22, 2021.
Hafla ya kuapishwa ...